Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : ABBAH
Titre : Antonia
Antonia, Antonia
(Sound by Abbah)
Antonia, Antonia

Ningalikuwa na uwezo

Ningalikujengea nyumba
Na kukununulia gari
Gari la upendo

Ama nipulize kitezo
Nikurogezee dumba
Wanga wakupikie mbali
Unizidishie pendo

Maana penzi kidonda
Hata nikikonda litabaki kovu
Sitaki mawazo kukonda
Kesho nikikuona nianze toa povu

Maana moyo unaona vya ndani
Ambavyo hata macho yahawezi kutazama
Hivi ni kweli utakuwa nami leo
Na kesho mtondogoo kiama

Will you be my wife? Antonia
Will you be my wife? Antonia

-