Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : ABBAH
Titre : Chibonge
Kama kupenda maradhi, niko hoi taabani
Na kama kutangaza nakupenda kosa, nifungwe
Kama kupenda upofu, mi sioni na sisikii
Ndo maana natangaza nakupenda, moyo wangu usiangamie

Sichepuki makona kona, na upona niugue
Ukifika mi napona pona
Na rangi yako ya black me nakuona white
We kifupi nyundo, nakuonaga mnara
Anapo ona dawa, mwepesi

Mmh aaah japo chii chii, chibonge
Aah chi chi chi chibonge
chi chi chibonge
Aah chi chi chi chibonge

Aah minyama tu,
Akipita minyama
Anatingisha minyama tu,
Vile akipita minyama

Aah minyama tu,

Akipita minyama
Anatingisha minyama tu,
Vile akipita minyama, minyama

Shepu ya mabonde mabonde, nimeridhia
Nitakumiliki usikonde, ata nikifulia
Oooh beiby unashoza ngÂŽombe, mbuzi wanakimbia
Na uwasha mhogo wa jangÂŽombe leta sufuria

Beiby usijipe stress, wewe kibonge mwepesi
Waruka mpaka sarakasi, samba kareti
unajua eeh,
Hips kiuno shangao za machaini chaini
(beiby you like the ...)
nyembamba kiuno chako feni
(gyal gyal )

Mmh aaah japo chii chii, chibonge

Aah chi chi chi chibonge
chi chi chibonge
Aah chi chi chi chibonge

Aah minyama tu,
Akipita minyama
Anatingisha minyama tu,
Vile akipita minyama(minyama)

Mwenzako mi napendaga vibaya, baya baya
Mwenzako mi nina ugonjwa wa moyo, moyo moyo
Mwenzako mi napendaga vibaya
Mwenzako mi nina ugonjwa wa moyo