Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : ABBAH
Titre : Mwagia Ndani
(Sounds by Abbah)

Long time niikuona eeh
Penzi kama tulianza jana
Sometimes ananikera

Nampea kwanza nawaza naye

Mafisi wanajikoki
Wataka penzi langu hawalipati
Ndo kwanza ye ananiposti
Pole wabambe itawakosti

Eeh tate nane tumeshibana
Eeh sa itakuwaje tukitengana

Tukiongozana si unaona
Bibi na bwana si unaona
Tunavyopendana si unaona
Mfupa kwa nyama si unaona

Boy now tell me what to do