Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Abdukiba
Titre : Mubashara
Oooh ....oooh
Hisia kama mikuki zanichoma
Ndo maana kila time nakuwaza wewe
Kwa mahaba nayopata
Nahisi mpaka homa

Sichoki me kukesha nawe

Love more...Love more...
Love more...(iyeee)

Wapambe waache waongee usiku watalala
Na waambie wenye wivu maneno yasizidi mpaka

Mmmh mapenzi mubashara, mapenzi mubashara
Zidisha leo zaidi ya jana(zidisha leo zaidi ya jana)
Mapenzi mubashara, mapenzi mubashara
Nikomeshe leo nisipate la kusema(la kusema aaah...)

Niroge kwa limbwata mpaka nipagawe
Ila tu nisiokote makopo
Zidisha kipimo unachokiona wewe

Kwako me ni kama mtoto

Mama, toa jiko nje nipikee
Aaah nikimaliza vyombo nioshe
Tena sogeza kichwa nywele nikusukee(beiby)
Na tukimaliza twende bafu nikakuogeshee

Mmmh mapenzi mubashara, mapenzi mubashara
Zidisha leo zaidi ya jana(zidisha leo zaidi ya jana)
Mapenzi mubashara, mapenzi mubashara
Nikomeshe leo nisipate la kusema
(nikomeshe leo nisipate la kusemala kusema aaah...)

Aaah nipate la kusema...mimi iyeee
Nipate la kusema...beiby
Na mapenzi mubashara

Nipate la kusema...
Mapenzi mubashara
Nami nipate la kusema

Single Forever Classic