Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Ali Mukhwana
Titre : Ni Salama
Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu
Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu
Ni salama, ni salama, ni salama

Moyoni mwangu

Nionapo amani kama shwari au nionapo shida
Kwa hali zote bwana amenijulisha
Ni salama moyoni mwangu
Nionapo amani kama shwari au nionapo shida
Kwa hali zote bwana amenijulisha
Ni salama moyoni mwangu

Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu
Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu

Ingawa shetani  atanitesa nitajipa moyo kwani mimi
Kristo ameona, ameona unyonge wangu
Amekufa kwa roho yangu

Ingawa shetani  atanitesa nitajipa moyo kwani mimi
Kristo ameona, ameona unyonge wangu
Amekufa kwa roho yangu

Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu
Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu

Dhambi zangu zote wala si nusu
Zimewekwa msalabani
Wala sichuhui dhana yake
Ni salama Moyoni mwangu
Dhambi zangu zote wala si nusu
Zimewekwa msalabani
Wala sichuhui dhana yake
Ni salama Moyoni mwangu

Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu
Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu

Eeh bwana himiza siku yako ya kuja
Parapanda itakapo ooh, ooh lia
Utakapo shuka mimi sitaogopa
Ni salama Moyoni mwangu
Eeh bwana himiza siku yako ya kuja
Parapanda itakapo ooh, ooh lia
Utakapo shuka mimi sitaogopa
Ni salama Moyoni mwangu

Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu
Ni salama, ni salama, ni salama

Moyoni mwangu
Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu
Ni salama, ni salama, ni salama
Moyoni mwangu