Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Ali Mukhwana
Titre : Usinipite
Usinipite mwokozi, unisikie
unapozuru wengine usinipite

Usinipite mwokozi unisikie Bwana
unapozuru wengine Bwana usinipite

Usinipite mwokozi unisikie Bwana
unapozuru wengine Bwana usinipite

(Naomba) Yesu unisikie
Unapozuru wengine usinipite
(Nakuomba Yesu wangu)
Yesu unisikie
Unapozuru wengine usinipite

Mtetezi wa mbingu ni wewe
Njia ya uzima ni wewe Bwana
Hakuna mwingine kama wewe Jehova Shammah
Ombi letu ni kwamba unapozuru wengine
Unapotembelea wengine usinipite Bwana
Usiniache mwokozi wangu
Wewe ni njia ya uzima Bwana tunakupenda ooh

Baba yangu ooh ninakupenda sana

Nani mwingine kama wewe ninakupenda aah
Usinipite Bwana, wewe ndiwe njia ya uzima
Nani mwingine kama wewe ila wewe Baba
Siwezi kamwe usinipite Bwana

Yesu unisikie
unapozuru wengine usinipite
(Baba nakupenda Baba)
Yesu unisikie
Unapozuru wengine usinipite

Hakuna jambo gumu kwako Baba
Hakuna jambo linalokushinda mwokozi
Wewe ni Mungu wa Baraka

wewe ni Mungu wa upendo Bwana
Nani mwenye upendo kama wako mwokozi
Nani mwenye nguvu kama zako Bwana"

Kiti chako cha rehema Bwana
Nakitazamia miye
Magoti napiga mbele zako Baba aah
Usinipite Bwana

Yesu unisikie
unapozuru wengine usinipite
Yesu unisikie
Unapozuru wengine usinipite