Pokea zangu salamu, wangu mimi Mambo yameshakua, nahitaji ku(oa) kua Kwanza uwe na mume, utambe na uringe Nami niwe na mke, ili unichunge Mngâaro wa nuru yako, kama mbalamwezi
Honeymoon, wapi twende visiwani? Ama chini baharini? Au tupae angani? (Lupela) Mi papaa sio judge, nawe mama sio judge (Lupela) Leo tuifishe laâarjhi, wal adal ghaudi