Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Alikiba
Titre : So Hot (Wamoto)
(Kimambo On the Beat)

Eeh! Kama bahati sandaka lawe
Nimeipata kwako
Baby, usinichukulie poa

Mama jitete ooh

Baby, mi mti mwema
Nipigwe mawe sababu yako
Baby, wapinzani wananichora
Na mi naona nimeipata

Nimekwisha haina utata
Kwa kubisha
Uje uchukue mapipa
Tule bata delisha

Haina majoto haina
Tukule mafoto Kenya
Nikuvishe pete final
Beiby uwe wamoto, wamoto

You are so hot

You are so hot
You are hot
You are so hot

Dunia we ndo baby nataka
We ni nguni wa mapenzi sina shaka
Kaka shemeji ushapata
Wife material no haja ya talaka

Tunao, tunao
Wacha wapige domo tunao
Siwapagi promo hao
Watalii achana nao

Naona umelipata mekwisha
haina utata kubisha
Uje uchukue mapipa
Tule bata delisha

Haina majoto haina
Tutwange mafoto Kenya
Nikuvishe pete final
Beiby uwe wamoto, wamoto

You are so hot
You are so hot
You are hot
You are so hot

Oh no, kwenye akili yangu
Baby unitawale , unitawale
Kwenye maisha yangu
Mama nitawale, itawale

We chaguo langu
Unashinda wale, unashinda wale

We ndio macho yangu leo naona

You are so hot
YouÂŽre so hot
You are hot
You are so hot