Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Alikiba
Titre : Wosia wa Magufuli
Mmmh mmh wouwoo ooh oh
Mi nataka niwaambie ndugu zangu, ndugu zangu
Ipo siku moja mtanikumbuka aah
Mi najua na mi najua mtanikumbuka
Kwa mazuri si mabaya eeh

Mi najua na mi najua mtanikumbuka
Kwa mazuri yeah
Kwa sababu nimesacrifice maisha yangu
Nimejitoa sadaka

Nimesacrifice maisha yangu
Nimejitoa nimejitoa kwa nchi yangu
Watu wangu, nchi yangu

Kwa mara hio tusimame kwa pamoja
Tusibaguane kwa vyama
Mara hio tusimame
Tusibaguane kwa vyama

Tusibaguane kwa ajili ya dini zetu
Tusibaguane hata kwa makabila yetu
Tusibaguane kwa ajili ya dini zetu

Tusibaguane hata kwa makabila yetu
Yetu tusibaguane oh ndugu zangu

Aiyayaiyaiya, nchi yangu
Aiyayaiyaiya, familia yangu
Aiyayaiyaiya, Tanzania
Aiyayaiyaiya

Nimesacrifice maisha yangu
Nimesacrifice maisha yangu
Kwa ajili ya watanzania masikini

Ndugu zangu msibaguane
Ndugu zangu tusibaguane
Kwa makabila