Accueil
đđ€ Paroles de chanson Française et Internationnales
|
|
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9
Titre : Sigino
Sigino(Hallo)
Sigino goli la kisigino
Sigino(Hallo)
Sigino goli la kisigino
Sigino Sigino
Sigino goli la kisigino
Sigino Sigino
Sigino goli la kisigino
Ninaskia mnanisema kwa dharau
Eti nimeshika dau
Najizimia ndio maana nawadharau
Watoto ndogo manyangÂŽau
Mnajifanya beki kuwa mnachuma
Mnafungwa magoli mpaka ya kona
Game si ya kitoto naisoma
Wamepaki basi ninashona
Wanakunywa maji kwa kijiko
Nimewashika chacharicho
Na nawavuta kama kiko
Wakijitusi umafuriko
Kama wewe ni bibi mi ni nyanya
Nafuata upepo unapovuma
Navuta kote kote mbele nyuma
Basi kama ndizi nganda menya
Ninaskia mnanisema kwa dharau
Eti nimeshika dau
Najizimia ndio maana nawadharau
Watoto ndogo manyangÂŽau
Sigino(Hallo)
Sigino goli la kisigino
Sigino(Hallo)
Sigino goli la kisigino
Sigino Sigino
Sigino goli la kisigino
Sigino Sigino
Sigino goli la kisigino
Viherehere
Wamepunguza kelele
Zimewabana kwikwi kwa mbele
Wamezidisha chumvi tendele
Eeeeh! Ni noma
Wakiniona wanapata homa
Eeeeh! Kusonona
Mpaka sura zao zinayoyoma
Kama wewe ni bibi mi ni nyanya
Nafuata upepo unapovuma
Navuta kote kote mbele nyuma
Basi kama ndizi nganda menya
Sigino(Hallo)
Sigino goli la kisigino
Sigino(Hallo)
Sigino goli la kisigino
Sigino Sigino
Sigino goli la kisigino
Sigino Sigino
Sigino goli la kisigino
Amekesha washa
Washa....
Sigino(Hallo)
Sigino goli la kisigino
Sigino(Hallo)
Sigino goli la kisigino
Sigino Sigino
Sigino goli la kisigino
Sigino Sigino
Sigino goli la kisigino