Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Amber Lulu
Titre : Walete
Mimi moyo watetema
Hadi nashindwa kuhema
Umenishika mie
Umenishika pabaya

Moyo unataka kusema
Mdomo nao unanongÂŽona
Umenifanya mie
Umenifanya pabaya

Bora wewe
Mwenzako mie sijiwezi
Umenipa nini?
We Amber mie sijiwezi

Baba nyonga vile unavyonyonga
Mikatiko flani ya kitanga
Polepole mwendo wa kinyonga
Napania navunja kitanda

Kama wanataka, walete
Kushoto kulia, walete
Mwajuma Mwanjala, walete

Mmmmh walete

Kama wanataka, walete
Kushoto kulia, walete
Kina Lokole Juma, walete
Mmmmh walete

Baibe, baibe
We ni wangu sikuachi ngÂŽo
Baibe, baibe
Leta bomba tulijaze ndoo

Baibe, baibe
We ni wangu sikuachi ndoo
Baibe, baibe
Mimi kwako nimefika ndoo

Haya sugua gaga chekecha

Haba na haba komesha
Haya sugua baba pekecha
Yale madanga komesha

Baba nyonga vile unavyonyonga
Mikatiko flani ya kitanga
Polepole mwendo wa kinyonga
Napania navunja kitanda

Kama wanataka, walete
Kushoto kulia, walete
Mwajuma Mwanjala, walete
Mmmmh walete

Kama wanataka, walete
Kushoto kulia, walete
Kina Lokole Juma, walete
Mmmmh walete

(Driss)

Fanya kama unamwaga
Fanya kama una-
Fanya kama unachekecha

Aya beiby beibe ifinye hiyo(Finya)
Aya beiby beibe izime hiyo(Zima)
Aya beiby beibe ifinye hiyo(Finya)
Aya beiby beibe izime hiyo(Zima)