Accueil  💃🎤 Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Angel Benard
Titre : Nikumbushe Wema Wako
Halleluyah
Oooh ooh eeh
Halleluyah

Nirahisi kinywa kujawa na lawama tele

Pale mambo yanapoonekana hayaendiii
Ni ajabu sana, namna moyo unahangaika
(Kutafuta majibu)

Ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka
Yakwamba japokuwa Mungu anaishi ndani yangu
Kuna muda nahofu
Japokuwa Mungu anaketi kati yetu
Kuna muda nahofu,

Oooh nakumbuka wana wa Israel
Katika bahari ya Shamu
Japo walikatiza
katikati ya bahari kwa ushindi

Kwa nyimbo nyingi
Waliimba na kumsifu Bwana
Lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa

Yalibadilika mambo

Manung´unikoo yalisimama
Na kusahau muujiza alotenda Bwana mwanzo(Aah)
Eee MUNGU
Niisaidieee eee eenhee

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii

Eeeh Ee MUNGU Nisaidiee

Nisaidieee
Kukumbuka baba
Yakwamba umenichora
Kiganjani mwako

Kati ya wengi waliopo duniani eeh
Na mimi umenionaa oooh ooo
Nikumbushe baba
Yakwamba ni wewe umeniponya nilipoumwa
Yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleni oooh
Yakwamba kama ungeniacha hatua moja
Nisingelifika nilipo ooh eee Babaaa

Umenikung´uta mavumbi
Kung´uta mavumbi mimi na kuniheshimisha

oooooh oooooh

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii
Eeeh Ee MUNGU Nisaidiee