Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Angel Benard
Titre : Salama
Heieee aaah
Haaaaooo
Mmmmmm
Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu

Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni sakama rohoni mwangu
Ingawa shetani alinitesa nalijipa moyo kwani
Kristo uliuona unyonge wangu ulikufa kwa roho yangu
Dhambi zangu zote wala si nusu ziliwekwa msalabani
Wala sichukui laana yake ni salama rohon mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni

Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoniiiiii
Ee Bwana imiza siku ya kuja panda itakapolia
Pale utaposhuka wala sitaogopa Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Kwako salama salama rohoni
Kwako salama Yesu ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu