đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Aslay
Titre : Chuki
Olalalala

Maadui
Wamenizidi pesa na umri
Nashangaa

Sijui au tuseme nina kiburi

Nakataa
Hawanidai siwadai
Ila nashangaa wananichukia aah
Chuki zisizo sababu

Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela
Eeh Mungu baba unitetee

Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee

Mi mnyonge

Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge
Wanapangia waniondoe

Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

(Wanasema nalewa)

Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

(Eti Aslay kaishiwa)

Mapumbu saba
Ridhiki unagawa tu maanani
Wengine labda
Wanataka kushindana na wewe

Mmh mpaka napiga magoti(Magoti)
Namlilia mama(Mama)
Kisha narudi kwako
Umlaze salama

Sawa nyinyi manoti noti
Tutakutana kiama
Mnyonge narudi kwako
Kwako Maulana

Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela

Eeh Mungu baba unitetee

Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee

Mi mnyonge
Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge
Wanapangia waniondoe

Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

(Wanasema nalewa)