Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Aslay
Titre : Kaitesi
Eehh, eehh
Jicho limeona kwako mama,
Mwingine hakuna, oh.

Naahidi nitabadili, nisamehe sana.

Kweli nilikunyanyasa sana,
Rudisha moyo nyuma, Kaitesi.
Naahidi nitabadili, nisamehe mama.

Mi binadamu nakosea, aahhaa.
Na nikikosea kuambiwa lazima.
Tafadhali ebu rudi nyumbani, mama.
Kaitesi ii, usije ukaputsi uwaje usi.
Kaitesi ii, penzi usiitie ukasi.
Kaitesi, nahisi kabisa nitakuwa chizi,
Kaitesi, lolololilo lolololooo.
Ebu fikiria maamuzi yako, yananilizaa.
Ooohh, iiihh.
Yananiumiza.
Kaitesi, mama watoto, unanilizaa.
Ooohh, iiihh.
Unaniumiza.

Miaka kadhaa ya msoto,
Mungu akatupa toto, toto zuri.
Mona, mmm, mrithi wa mama yangu.
Naomba unisamehe,
Nisamehe.
Tuyamalize.
Nitaita wazee, wazee. Tuyasuluhishe.

Mi binadamu nakosea, aahhaa.
Na nikikosea kuambiwa lazima.
Tafadhali ebu rudi nyumbani, mama.
Kaitesi ii, usije ukaputsi uwaje usi.
Kaitesi ii, penzi usiitie ukasi.
Kaitesi, nahisi kabisa nitakuwa chizi,
Kaitesi, lolololilo lolololooo.
Ebu fikiria maamuzi yako, yananilizaa.
Ooohh, iiihh.
Yananiumiza.

Kaitesi, mama watoto, unanilizaa.
Ooohh, iiihh.
Unaniumiza.
Ebu fikiria maamuzi yako, yananilizaa.
Ooohh, iiihh.
Yananiumiza.
Kaitesi, mama watoto, unanilizaa.
Ooohh, iiihhh.
Unaniumiza