đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Aslay
Titre : Mateka
Ooh mama yeah, ooh mama yeah
Yeah yeah

Kanilambisha limwata
Nisikule

Nahisi kama nadata eeh
Msukule eh

Na moyo wangu unawasha
Upelee
Napuliza nakungÂŽata eeh
Panya buku

Upendo umevuka kina
Nina wivu mpaka roho inauma
Iwe Japan au China
Weka gundi baby tutagandana eh

Supu ukitia nazi utaharibu
Kidole niweke pete, tuwe karibu
Kisha tukawasalimu
Bibi na babu, babu babu babu

Watupikie mihogo
Tunywe mbege
Tukacheze sindimba

Ndege limetua kwenye mti wangu
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah),Nimetekwa mateka
Nimeridhika hayuni wangu
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah),Nimetekwa mateka

Mlango nimepata kufuli wee
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka
Hapa mwisho wa ujeuri yee
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka

Ndoto yake ilikuwa kunipata
Alivyonipata sindo akanipa
Alivyonipa nikashangaa nadata
Nikazama mazima

Wa kwangu mwenyewe
Huyu, huyu, huyu, huyu
Nimempenda mwenyewe,
Huyu, huyu, huyu, huyu

Wa kwangu mwenyewe mwenyewe
Huyu, huyu, huyu, huyu
Punguzeni vimbembele
Huyu, huyu, huyu, huyu
Supu ukitia nazi utaharibu
Kidole niweke pete, tuwe karibu
Kisha tukawasalimu
Bibi na babu, babu babu babu

Watupikie mihogo
Tunywe mbege
Tukacheze sindimba

Ndege limetua kwenye mti wangu
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka
Nimeridhika hayuni wangu
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka

Mlango nimepata kufuli wee
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka
Hapa mwisho wa ujeuri yee
Nimetekwa mateka(Ah Ah Ah), Nimetekwa mateka

Huyu, huyu, huyu, huyu...