Tena jua kali naiota Inawaka Siamini kama leo me baby unaniacha
Vibaya ivyo unanikosea
Kumbuka tuna watoto wadogo nani atawalea Moyo mashine unatia misumali inakoboa Au labda kuna makosa makubwa nilokufanyia Si ndo wewe uliyeniahidi Utabaki na mimi milele Mungu anaushahidi Au mwenyewe eh umefanya makusudi Nia yako unataka univue ili ufaidi Ona mose analia ah mama rudi mama rudi Oh baby baby uwalee watoto wako Kanachi analia ah mama rudi mama rudi Oh baby baby uwalee watoto wako Tatizo si mimi Tatizo moyo wangu Unakupenda wewe unitaki mwenzangu Kingine kikubwa ni watoto wangu Ebu rudisha moyo uogope mungu Tena ukikopa nitalipa
Usiondoke mama tuyajenge makopa Kikopa kopa nitalipa eh Usiondoke mama tuyajenge makopa Baby wa kitandani uwape maziwa watoto wanywe mama eh Ugomvi wa nini wakati mi na wewe tushaanza kufanana eh Tema mate chini mambo mengine tumwachie maulana eh Wewe na mimi mpaka kesho mosi eeh