đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : B Classic 006
Titre : Faraja
Naomba nafasi nipate pa kuegemea
We ndo chaguo langu mwenzako nishakuzoea
Nakupa moyo wangu usije ukauchezea
Na kamwe sitakukosea tu nikaitunza heshima yako

Mwenzako mi nina moyo wa upole
Na nimeridhi kwa mama
Wameze quinin oh my love
Wasije kuvuruga penzi letu

Mmmh unapendeza sana
We ndo malkia nimeshakuweka moyoni
Mmmh na nitachofanya
Kwako nitaweka heshima sana

Oooh beiby chuku chuku
Unapendeza hata ukisuka matuta aii
Umenitoa suku
Kwa love yako nitaienzi milele

Sijaona kama wee
Be my queen
Nikupeleke kwa mama ee

Ukamuone baba, my one and only queen

Ukipata joto nkupepeee
Nikupepeee
Nikupe mavitu usichoke
Usichokee

Nikiwa wa baridi baridi
We ndo langu joto
Nikiwa wa baridi baridi
We ndo langu joto

Kwa shuka vile unenifariji
Mpaka napata naota
Kwa shuka vile unenifariji
Mpaka napata naota

My baby time

Kwako milele sitoki
Ulichonipa jana sisahau
Na vile umejibeba
Sina maswali juu yako wee
Naomba tusafiri wote
Hii meli ya kwetu

Unanipa doze we ndo unaniponya
Na kama kivuko nishakisoma
Ooh basi tena we ndo langu tele
Nakupenda sana

Ukipata joto nkupepeee
Nikupepeee
Nikupe mavitu usichoke
Usichokee

Nikiwa wa baridi baridi

We ndo langu joto
Nikiwa wa baridi baridi
We ndo langu joto

Kwa shuka vile unenifariji
Mpaka napata naota
Kwa shuka vile unenifariji
Mpaka napata naota

Come close to me
Baby I wanna show you my love
Usiniache mi
Kwangu we bahari niogelee