B Classic 006 na Sanaipei Utamu wako mpaka napata kigugumizi Ulivyojibeba mpaka na si nimechizi chizi Na umeniroga mazima kwenye macho baby unavyopendeza
Fegi sheli kwako nazima Umenikaa mpaka kwenye mtima
Niko upande wako baby ooii, mpaka nakubegi Moyo usiufanye kiyoyozi kwenye kibegi
We unakili na sio za kitoto Moyo umeshanipa mwingine joto Vurugu kwa shuka tusake mtoto
We unakili na sio za kitoto Moyo umeshanipa mwingine joto Vurugu kwa shuka tusake mtoto
Navyokupenda twende majuu Ukamwone boss wangu Kevo Na I hope utaenjoy Hautaniacha, hautaniacha
Kuna vile unanifurahisha Nakuja we mama nakuja Kuna vile unanichangamsha Nakuja we baby nakuja
Kuna vile unanifurahisha Nakuja we mama nakuja Kuna vile unanichangamsha Nakuja we baby nakuja
Yaani sio siri mi kwako nishazama Chomeka mpini we ndo umeniteka mi mateka Na kwako mi ndo hivo ata ukiguna mi nishafika Moyo umewekwa shimo hata kuhema kwangu ni shida