đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : B Classic 006
Titre : Nakuja
B Classic 006 na Sanaipei
Utamu wako mpaka napata kigugumizi
Ulivyojibeba mpaka na si nimechizi chizi
Na umeniroga mazima kwenye macho baby unavyopendeza

Fegi sheli kwako nazima
Umenikaa mpaka kwenye mtima

Niko upande wako baby ooii, mpaka nakubegi
Moyo usiufanye kiyoyozi kwenye kibegi

We unakili na sio za kitoto
Moyo umeshanipa mwingine joto
Vurugu kwa shuka tusake mtoto

We unakili na sio za kitoto
Moyo umeshanipa mwingine joto
Vurugu kwa shuka tusake mtoto

Navyokupenda twende majuu
Ukamwone boss wangu Kevo
Na I hope utaenjoy
Hautaniacha, hautaniacha

Kuna vile unanifurahisha
Nakuja we mama nakuja
Kuna vile unanichangamsha
Nakuja we baby nakuja

Kuna vile unanifurahisha
Nakuja we mama nakuja
Kuna vile unanichangamsha
Nakuja we baby nakuja

Yaani sio siri mi kwako nishazama
Chomeka mpini we ndo umeniteka mi mateka
Na kwako mi ndo hivo ata ukiguna mi nishafika
Moyo umewekwa shimo hata kuhema kwangu ni shida

Mwenzio kukataa ndo nashindwa
Sijui umenipa nini baby

Umenikoroga umenitoa na ujinga
Sijui niseme nini hunnie

Nikikuona tu mi napagawa
Sijui baby umenishikia dawa
Yaani kama bwege we baby chukua
Tembeza maneno nikupapase kifua

Navyokupenda twende majuu
Nikamwone boss wako Kevo
Na I hope nitaenjoy
Na sitokuacha, na sitokuacha

Kuna vile unanifurahisha
Nakuja we baba nakuja
Kuna vile unanichangamsha
Nakuja we baby nakuja

Kuna vile unanifurahisha
Nakuja we baba nakuja
Kuna vile unanichangamsha
Nakuja we baby nakuja