đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Bahati
Titre : Fanya
Aaaah Danny Gift mara tena
Na Bahati tena, tena

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya eeeh

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya

Nina madeni hadi kwa mama mboga
Nina madeni haki leo katanuka
Vile naona, kashaanza kunuka
Usiposhuka, baba leo katanuka(fanya)

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga

Hebu sifika kwa hii ngoma

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Hebu sifika kwa hii ngoma

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Ebu sifika kwa hii ngoma

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya eeeh

Najua leo utafanya(fanya)

Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya

Nikikuona ata shida zitaona
Nikikuona na vipofu wataona
Nikikuona ata shida zitaona
Nikikuona na wagonjwa watapona
Baba fanya(fanya)

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Ebu sifika kwa hii ngoma

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga

Ebu sifika kwa hii ngoma

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya eeeh

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya

Najua leo utafanya(fanya)

Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya