Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Bahati
Titre : Magufuli (Safiri Salama)
Nina imani tutaonana tena
Tena mmmh

Ila yangu swali?
Mbona umeondoka mapema na haukusema

Jua linatua kila pande ni manjozi
Mwongoza njia umetuacha Magufuli
Nani ataitwa mlezi wa wasanii
Na simba amsifie?
Nani ataleta ndege Tanzania uchumi auinue

Aah mbona umetuacha
Aah bado mapema
Aah..Magufuli safiri salama
Aah mbona umetuacha
Aah bado mapema
Aah..Magufuli we safiri salama

Bado siamini hatutakuona tena
Kwanini baba yo umeondoka mapema
Msalimie baba Mzee Jomo Kenyatta
Mwambie Kenya imara mwanae anatawala
Aah na mzee Odinga naye mpe salamu

Mwanaye ni gwiji sasa mwambie atabasamu
Umtafute Mzee Moi, umkumbatie
Natamani maziwa ya Nyayo iturudie

Aah mbona umetuacha
Aah bado mapema
Aah..Magufuli safiri salama
Aah mbona umetuacha
Aah bado mapema
Aah..Magufuli we safiri salama

I wish ungejua siku barua ungetuandikia
Ila Mungu ndo anapanga pole kwa mama Samia
Rafiki yangu babu Tale chawa wako wanaumia
Swali mbona ni mapema Afrika inakulilia

Magu aah mbona umetuacha?
Aah bado mapema

Aah..Magufuli we safiri salama
Aah mbona umetuacha?
Aah bado mapema
Aah..Magufuli we safiri salama