Emb records Mama mama lalelee DK Kwenye beat na bahati tena
Niko na mengi masikireti
Niyatoeje kwenye kibeti Sometimes naregreti I am so sorry
Na, niko na mengi masikireti mengine makubwa na mebgine petty Na mengine mmewitnesi Am so sorry
kabla niseme sana, baba nisikize leo niko na bratha, anaitwa DK
Baba ulie juu mbinguni,najua unatazama Mimi ni mwanako, mpendwa katika bwana Naishi kwa bahari, mchanga uliozama Kwa mbali naona vumbi, iliyohama Na njaa ilitawala na tamaa ya ganji Nafanya mradi kwa kivuli cha uchungaji
Nazini sana na upako wa kipaji Gunia la dhambi na namvisha Yesu taji
Niko na mengi masikireti Niyatoeje kwenye kibeti Sometimes naregreti I am so sorry
Na, niko na mengi masikireti Mengine makubwa na mebgine petty Na mengine mmewitnesi Am so sorry
Sorry, sorry sorry, am sorry Sorry, sorry sorry, am sorry
Cadre de contenu incorporé
Mama aliniambia, nikafanya kupuuzia Leo najuta, nashindwa kusimulia Kafiri hazaliwi, anajengwa na dunia Kuna muda mtu mzuri, hutengwa na hatia
Nilicho na kini sana, nakumbuka Nilizaliwa nyota upako kuruka Nikasahau safari ya macho inafilisi duka Ata mwenye roho safi akifa ananuka
Niko na mengi masikireti Niyatoeje kwenye kibeti Sometimes naregreti I am so sorry
Na, niko na mengi masikireti
mengine makubwa na mebgine petty Na mengine mmewitnesi Am so sorry
(Shazbaro)
Lord of Lord, you´re gracious Sorry, am sorry Compassion, slow to anger and of greatness Am sorry!