💃🎤 Paroles de chanson Française et Internationnales 🎤💃

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Bahati
Titre : Sorry
Emb records
Mama mama lalelee
DK Kwenye beat na bahati tena

Niko na mengi masikireti

Niyatoeje kwenye kibeti
Sometimes naregreti
I am so sorry

Na, niko na mengi masikireti
mengine makubwa na mebgine petty
Na mengine mmewitnesi
Am so sorry

kabla niseme sana, baba nisikize
leo niko na bratha, anaitwa DK

Baba ulie juu mbinguni,najua unatazama
Mimi ni mwanako, mpendwa katika bwana
Naishi kwa bahari, mchanga uliozama
Kwa mbali naona vumbi, iliyohama
Na njaa ilitawala na tamaa ya ganji
Nafanya mradi kwa kivuli cha uchungaji

Nazini sana na upako wa kipaji
Gunia la dhambi na namvisha Yesu taji

Niko na mengi masikireti
Niyatoeje kwenye kibeti
Sometimes naregreti
I am so sorry

Na, niko na mengi masikireti
Mengine makubwa na mebgine petty
Na mengine mmewitnesi
Am so sorry

Sorry, sorry sorry, am sorry
Sorry, sorry sorry, am sorry

Cadre de contenu incorporé

Mama aliniambia, nikafanya kupuuzia
Leo najuta, nashindwa kusimulia
Kafiri hazaliwi, anajengwa na dunia
Kuna muda mtu mzuri, hutengwa na hatia

Nilicho na kini sana, nakumbuka
Nilizaliwa nyota upako kuruka
Nikasahau safari ya macho inafilisi duka
Ata mwenye roho safi akifa ananuka

Niko na mengi masikireti
Niyatoeje kwenye kibeti
Sometimes naregreti
I am so sorry

Na, niko na mengi masikireti

mengine makubwa na mebgine petty
Na mengine mmewitnesi
Am so sorry

(Shazbaro)

Lord of Lord, you´re gracious
Sorry, am sorry
Compassion, slow to anger and of greatness
Am sorry!