Shoboka mpaka chini mama shoboka Shoboka jisheue mama shoboka Shoboka mpaka chini mama shoboka Shoboka jisheue mama shoboka
Ring de alarm itÂŽs your girl band Beca We ready kwenye the scene Kuingika imeingia Na gimbo nguya inachachisha
Hii pesa leo ni sanitizer Ambia waiter aongeze energizer Tumekuja na hatutoki
Nimefanikiwa ni baraka mi napata Nahamasisha gang na ni nyayo wanafuata Unataka kujua ni nini ilifikishanga hapa Ni Kwamboka vibaya tangu tene mpaka sasa
Mimi nina nguvu za kike (Ayee) Nimejituma nifike (Ayee) Hizo ganji mi nishike (Ayee) Sho! Sho! Sho! Shoboka
Shoboka mpaka chini mama shoboka Shoboka jisheue mama shoboka Shoboka mpaka chini mama shoboka Shoboka jisheue mama shoboka
Naishobokea ndio maana naitobokea Vile kwanza nimejitolea maisha yangu yana mbolea Sai mate mnanimezea nyi mnataka mazoea Unanichocha unaniombea kumbe unaeneza umbea
Nakumbuka nikikosanga chakula Umepiga looku mi natamani hio Puma So usitoke endelea kusukuma Mi najua uko strong uko strong kama chuma Watasema watachoka wenye wivu wajinyonge Wengi walinichomea mimi nisiendelee
Saa hii cheki mimi naendelea Kwa baraka ninapepea Tumekuja kusherehekea Sho! Sho! Sho! Shoboka
Shoboka mpaka chini mama shoboka Shoboka jisheue mama shoboka Shoboka mpaka chini mama shoboka Shoboka jisheue mama shoboka