Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Barnaba
Titre : Asante
Baba what more can I say?
Haimaanishi kwamba sikosei
Ila bado unanilinda
Kila kukicha pumzi hunipa
Baraka tele unanipa

YouÂŽre so kindness

In the name of The Lord of the mass
If you believe in God many things will be okay
Maana Mungu anatenda kila wakati, stand up

Kuna matatizo nilishapitia aki nikachukia dunia
Mungu akanihurumia akanifanya mpya Baba
Sitetereki sihangaiki, sipapatiki mimi
Wanafanya vingi wanipige ngwara
Ili niende chini ila wapi

Mabaya anazuia (Mungu hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia (Eeh Baba hataki)
Oooh..

Kuna muda nilisaka sarafu sipati

Hadi najichukia yoo
Nilipotaka mke mwema nikawa sipati
Akanisaidia Baba

Mabaya anazuia (Mungu hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia, Oooh..

If you believe in God many things will be okay
Thankyou Lord of the mercy
Thankyou Baba Nagode
You bless me each and everyday

Maisha yangekuwa simu ningeweka bando
Nichati niwezavyo
Maisha yangekuwa nyumba ningemimina zege
Idumu iwezavyo (Aaah)

Ila yuko Mungu yaani ni mvunja vyungu
Hata waganga wanamwomba yeye
Au nikakape na marungu
Yaani niwape watu uchungu
Yaani ni wakati uko wewe Baba

Nijalie uzima, nimezingirwa kila kona
Maadui wako wengi sana
Wengine siwezi kuwaona
You are so kindness, you are my bodyguard
You are my policeman siogopi Baba

Mabaya anazuia (Mungu hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia (Eeh Baba hataki)
Oooh..

Kuna muda nilisaka riziki sipati

Hadi nakajichukia ooh
Kuna muda nilisaka mke mwema sipati
Akanisaidia Baba

Mabaya anazuia (Eeh Baba hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia (Eeh baba hataki)
Oooh..

Baba what more can I say?
Haimaanishi kwamba sikosei
Ila bado unanilinda
Kila kukicha pumzi hunipa
Baraka tele unanipa
YouÂŽre so kindness

Baba what more can I say?
Haimaanishi kwamba sikosei

Ila bado unanilinda
Kila kukicha pumzi hunipa
Baraka tele unanipa
YouÂŽre so kindness