Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Barnaba
Titre : Muongo
This is Barnaba Boy Classic
Mocco Genius, Naa (Mocco)

Masikini mimi moyo wangu pasu pasu
Kwani nilivyompenda singefanya machafu

Penzi kanichimba chimba kama viatu
Yaani bila huruma akatupa na watatu

Kwake niliwekeza upendo
Ye hakuwa na malengo
Penzi akaweka na pengo
Kupenda shida kabisa

Kama mtu kungÂŽoa utumbo
Akapunguza upendo
Akaninyima na tendo
Nifanye nini nimechoka?

Raha ya kitandani, muwe wawili
Mgusane gusane yenu miili
You lie me everyday

Kumpenda kosa jamani

Akanifanya hayawani
Kwa kuniacha njiani
Masikini kumbe penzi langu bure

Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo
Muongo, muongo, muongo
Kanisave kaka eh

Muongo, muongo, muongo
Visa biza bina wanichora
Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo

Aaah, aah, aah
Acha kulilia pendo maana ushenzi
Kila siku wanazaliwa dada
Wanazaliwa kaka

Ridhiki mafungu saba
Ikizidi na nne bahati
Na bahati hujaga kwa nyakati
Walahi

Kwake niliwekeza upendo
Ye hakuwa na malengo
Penzi akaweka na pengo
Kupenda shida kabisa

Kama mtu kungÂŽoa utumbo
Akapunguza upendo
Akaninyima na tendo
Nifanye nini nimechoka?

Raha ya kitandani, muwe wawili
Mgusane gusane yenu miili

You lie me everyday

Kumpenda kosa jamani
Akanifanya hayawani
Kwa kuniacha njiani
Masikini kumbe penzi langu bure

Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo
Muongo, muongo, muongo
Kanisave kaka eh

Muongo, muongo, muongo
Visa biza bina wanichora
Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo