Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Barnaba
Titre : Nibembee
(Ayolizer)

Nah nah nah nah aah

Kama tatizo pesa, niko radhi kuiba(Aah)

Kwako niseme nini nawe wangu swahiba(Aah)
Mtoto mwendo wa jongoo amejawa ghaiba
Kutwa juba swala tano, akulinde Kalima aah

Nampa chini ya tikiti
Nami ndo parachichi
Leo umenasa madichi
Penzi twalichokocha

Masaji ya asali mbichi
Maji mixer ya hiliki
Michezo samasoti
Dodo nimeokota

Baby wacha nibembee
Kwa penzi lako nibembee
Nimefika kikomo nibembee
Kwa vyako vinono, nibembee nibembee

Mmmh majagala chini, nibembee
Hebu jipinde kwa chini, nibembee
Kwako nitake nini tena, nibembee
Wacha, nibembee nibembee

Aii mimi
Aii mimi

Vocha yako dhamani
Ya kipato changu kidogo
Anivumiliaga
Kwa vidogo salary

Ye mtunza vya ndani
Nnje kuvitoaga mwiko
Penzi sangara shombo
Kubishana ni kawaida

Beiby we ndo maji kisima
Sharti uiname(Teke teke)
Zamu ya kwako mazima
Msumari nishindilie(Teke teke)

Kwako nitake nini tena?
Unavyoikunja mzima mzima(Iweke iweke)
Visa visa vina
Hadharani washuhudie(Iweke iweke)

Nampa chini ya tikiti
Nami ndo parachichi
Leo umenasa madichi
Penzi twalichokocha

Masaji ya asali mbichi
Maji mixer ya hiliki

Michezo samasoti
Dodo nimeokota

Baby wacha nibembee
Kwa penzi lako nibembee
Nimefika kikomo nibembee
Kwa vyako vinono, nibembee nibembee

Mmmh majagala chini, nibembee
Hebu jipinde kwa chini, nibembee
Kwako nitake nini tena, nibembee
Wacha, nibembee nibembee, nibembee

Aii mimi, aha
Nah nah nah nah, nah

Mtoto kapakwa msiwasili, nibembee
Danga na vuti, nibembee

Oooh niseme nini, nibembee
Nibembee, nibembee, nibembee

Classic