đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Beka Flavour
Titre : Lamba lolo
Go down ati nini?
Lamba lolo, lamba unyayo
Go down...Mafia

Ye kitandani fundi, akipangua me napanga

Ila miepo ya bundi, temeke napiga mapanga
Nimenasa kwa gundi, kanituliza kilanga
Machenga chenga sipigi, nimetuliza kananda

Yeah,
Kwako sipingi, we refa piga firimbi(Iyee)
Kiishe kipindi, zungusha kataka maringi(Iyee)
Shika ngingingi, zunguka msambwanda shangingi(Iyee)
Lamba mbilimbi, kisimani ishazama shilingi(Iyee)

Go down(Ati nini? lamba lolo
Go down, lamba lolo
Go down, lamba lolo
Go down, lamba lolo

Sukari guru, toto noma la kinyaturu
Mie na ukandu guru, nimezama yote maguru

Natima mpaka ikulu, anavyojua kupiga nduru
Amenipaga uhuru, mie kuchezeaga furu

Mmmh, kamanzi kamenikamata
Kwake mi sina mashaka
Hatuchoki kuchanga karata
Tunakimbizana mchaka mchaka

Amejizima na data
Hataki message utata
Navyompa mie vyamtosha ye
Ananipa ngulu na supu ya papa

Yeah,
Kwako sipingi, we refa piga firimbi(Iyee)
Kiishe kipindi, zungusha kataka maringi(Iyee)
Shika ngingingi, zunguka msambwanda shangingi(Iyee)

Lamba mbilimbi, kisimani ishazama shilingi(Iyee)

Go down(Ati nini? lamba lolo
Go down, lamba lolo
Go down, lamba lolo
Go down, lamba lolo

Simama, japo kidogo
Waonyeshe yako majonjo
Binuka, pinda mgongo
Waone lako gongingo

Zungusha kidogo
Uno la tanda, eeh iyee, uno la tanda
Fanya kuinama
Mahindi panda, oooh uo, mahindi panda

Kidogo chutama

Kama unataga, oooh iyee, kama unataga
Shasha
Piga msamba, piga msamba

Ahaaa...mama
Ati nini? Mambo ya kukuniwa nazi
Lamba lolo, Afya ni moto balaa
Hatari fire