đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Ben Pol
Titre : Wapo
Usiku wa manane
Jua kali likawaka
Hali ambayo sikuizoea
Hivyo ilinipa mashaka

Sikutaka tungombane
Yeye ndo alitaka
Akawa ananililia
Eti anataka talaka

Lile ua letu lote la upendo
Ndo likanyauka(aaah eeeh)
Nilitaka kuwa chizi
Maa wee ningekuwehuka(wehuka)

Nikasema tulia tulia moyo
Haya ya dunia yasikutishe wala
Yaani tulia tulia moyo
Haya ya dunia yasikunyime amani

Wengine wapo wapo wapo
Mapenzi yapo yapo yapo tu
Wengine wapo wapo wapo

Mapenzi yapo yapo yapo tu

Nilikonda kwa mawazo
Nilikosa raha, nilipata wasi wasi
Ila nilijipa moyo
Natupa jiwe, nitapata almasi

Saa nyingine nilifumba hata macho
Ningemuona yeye(ningemuona yeye)
Ilinipa taabu kusahau
Moyoni ilikuwa (aah)

Nasema tulia tulia moyo
Haya ya dunia yasikutishe wala
Yaani tulia tulia moyo
Haya ya dunia yasikunyime amani

Wengine wapo wapo wapo

Mapenzi yapo yapo yapo tu
Wengine wapo wapo wapo
Mapenzi yapo yapo yapo tu

Nasema tulia tulia moyo
Haya ya dunia yasikutishe wala
Yaani tulia tulia moyo
Haya ya dunia yasikunyime amani

Wengine wapo wapo wapo
Mapenzi yapo yapo yapo tu
Wengine wapo wapo wapo
Mapenzi yapo yapo yapo tu