đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Best Naso
Titre : Ngongingo
Ukimwona utasema kasusiwa
Huko nyuma mzee ana ngongingo
Ukimwona utasema kasusiwa
Huko nyuma mzee ana ngongingo

Kiuno, kiuono
Yeah nyuma ngongingo
Kiuno, kiuono
Yeah nyuma ngongingo

Mtoto shida mtoto vita
Mtoto atanifanya kichaa
Mtoto zigo akilitingisha
Macho yananitoka kama taa

Kiuno chake bingingi chapa
Kafungisha mkungu chapa
Macho yake ya ndindindi chapa
Kama kameza kungu wooza

Akitaka kushika chini
Namsakata, wooza
Akiniponza chini kwa chini

Namsakata

Biringita, biringita
Biringita kombora
Biringita, biringita
Biringita kombora

Ukimwona utasema kasusiwa
Huko nyuma mzee ana ngongingo
Ukimwona utasema kasusiwa
Huko nyuma mzee ana ngongingo

Kiuno, kiuono
Yeah nyuma ngongingo
Kiuno, kiuono
Yeah nyuma ngongingo

Wangu wa power wa ma suspender

Usinifuate wakati nina win(Ooh salale)
Bonge la mchuma, rusha mawe rusha verse
Rusha nanga, ooh salale

Oooh mama kiuno, mtoto kakusanya jiwe
Oooh mama kiuno, Leo unakula flamingo(Ooh salale)
Yanoga yanoga yanoga, kula flamingo
Yanoga yanoga yanoga, Africa bolingo

Ukimwona utasema kasusiwa
Huko nyuma mzee ana ngongingo
Ukimwona utasema kasusiwa
Huko nyuma mzee ana ngongingo

Kiuno, kiuono
Yeah nyuma ngongingo
Kiuno, kiuono
Yeah nyuma ngongingo

Cheza kizombie zombie
Kama ngongoti au shtua kama joti
Cheza kizombie zombie
Nishushie za Uganda, chatu kameza mamba

Cheza kizombie zombie
Basi tingisha kama nyavu kwenye soccer
Cheza kizombie zombie
Kama ngongoti au shtua kama joti

Cheza kizombie zombie
Kameza kaitema, amelala kakoroma
Kizombie zombie