đđ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đ€đ
Recherche : GO
Liste de Favoris
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 Ajouter aux Favoris Titre : Ngongingo
Ukimwona utasema kasusiwa Huko nyuma mzee ana ngongingo Ukimwona utasema kasusiwa Huko nyuma mzee ana ngongingo Kiuno, kiuono Yeah nyuma ngongingo Kiuno, kiuono Yeah nyuma ngongingo Mtoto shida mtoto vita Mtoto atanifanya kichaa Mtoto zigo akilitingisha Macho yananitoka kama taa Kiuno chake bingingi chapa Kafungisha mkungu chapa Macho yake ya ndindindi chapa Kama kameza kungu wooza Akitaka kushika chini Namsakata, wooza Akiniponza chini kwa chini Namsakata Biringita, biringita Biringita kombora Biringita, biringita Biringita kombora Ukimwona utasema kasusiwa Huko nyuma mzee ana ngongingo Ukimwona utasema kasusiwa Huko nyuma mzee ana ngongingo Kiuno, kiuono Yeah nyuma ngongingo Kiuno, kiuono Yeah nyuma ngongingo Wangu wa power wa ma suspender Usinifuate wakati nina win(Ooh salale) Bonge la mchuma, rusha mawe rusha verse Rusha nanga, ooh salale Oooh mama kiuno, mtoto kakusanya jiwe Oooh mama kiuno, Leo unakula flamingo(Ooh salale) Yanoga yanoga yanoga, kula flamingo Yanoga yanoga yanoga, Africa bolingo Ukimwona utasema kasusiwa Huko nyuma mzee ana ngongingo Ukimwona utasema kasusiwa Huko nyuma mzee ana ngongingo Kiuno, kiuono Yeah nyuma ngongingo Kiuno, kiuono Yeah nyuma ngongingo Cheza kizombie zombie Kama ngongoti au shtua kama joti Cheza kizombie zombie Nishushie za Uganda, chatu kameza mamba Cheza kizombie zombie Basi tingisha kama nyavu kwenye soccer Cheza kizombie zombie Kama ngongoti au shtua kama joti Cheza kizombie zombie Kameza kaitema, amelala kakoroma Kizombie zombie