đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Brown Mauzo
Titre : Mawazo
Aaah ...oooh.... lalalala
Iwapo angenieka wazi
Kama angenipa nafasi
Japo tukae, tuongee, anieleze

Maana moyo simanzi
Nisije jitia kitanzi
Mambo ya upweke siyawezi
Hanielezi...oooh

Oooh...sijakataa
Ila nitatubu nini na kosa silijui
Nishadataaa, kwake nishadata
Oooh mwambie yeye ndo tausi
Sitaki kunguru weusi
Kutwa na randa

Kwa Majalala
Aje anitoe mawazooo...(aye aye)
Aje anifute machoziii...(aye aye)
Aje anitoe  mawazooo...(aye aye)
Aje anifute machoziii...(aye aye)

Sina utulivu,
Aje tabibu, anitoe maumivu
Anavyonfanyia mwana mwenzie sio sawa
Oooh sina mtulivu,
Aje tabibu anitoe maumivu
Anayonifanyia mwana mwenzie sio sawa

Oooh...sijakataa
Ila nitatubu nini na kosa silijui
Nishadataaa, kwake nishadata
Oooh mwambie yeye ndo tausi
Sitaki kunguru weusi
Kutwa na randa

Kwa Majalala
Aje anitoe mawazooo...(aye aye)
Aje anifute machoziii...(aye aye)
Aje anitoe  mawazooo...(aye aye)

Aje anifute machoziii...(aye aye)

(Oooh.... lalalala....hey hey)
(Uuuh ... lalalala....)

Aje anitoe mawazooo...(aye aye)
Aje anifute machoziii...(aye aye)
Aje anitoe  mawazooo...(aye aye)
Aje anifute machoziii...(aye aye)