Hey hey honey Wengi wajiuliza ulinipa nini Upendo namba moja sio sufuri Mie kwako mtoto nideke
Ukiona naanguka nibebe Oooh oooh
Mchana tunagombana Usiku tunapatanaga Na vile unanipendaga Ooh mama yote nishasahau
Nimekupa moyo wangu Kama zawadi Na nitaituza heshima yako We ni mali yangu
Nimekupa moyo wangu Kama zawadi Na nitaituza heshima yako We ni mali yangu
Nimenasa sibanduki babe Na nimekita sifurukuti lady Mmmh yeah nachechema
Hatua moja na mbili ya tatu sisogei (Nachechema) Oooh baby bila wewe sijiwezi mama (Nachechema) Hatua moja na mbili ya tatu sisogei (Nachechema) Oooh baby bila wewe sijiwezi mama (Nachechema) Mmmh mmmh mmmmh (Nachechema)
Wanaona wivu hawataki niwe na wewe Na watajijiju dua za kuku hazipati mwewe Sie twala mbivu wacha wao waumie Wamelipata jibu habari zetu ziwafikie
Wewe ukitoka niko nyuma Wivu ndo mapenzi kukuchunga Ujue mi mwenzako ushanifunga
Cherrie eeh eeh
Nimenasa sibanduki babe Na nimekita sifurukuti lady Mmmh yeah nachechema
Hatua moja na mbili ya tatu sisogei (Nachechema) Oooh baby bila wewe sijiwezi mama (Nachechema) Hatua moja na mbili ya tatu sisogei (Nachechema) Oooh baby bila wewe sijiwezi mama (Nachechema) Mmmh mmmh mmmmh
Nimekupa moyo wangu Kama zawadi Na nitaituza heshima yako We ni mali yangu
Nimekupa moyo wangu
Kama zawadi Na nitaituza heshima yako We ni mali yangu