Tes ma douce tes ma beaute supreme La femme unique dans mon coeur J´aime de tout les filles de la terre Quand tu me dit je t´aime oh ma beaute
Je croix que le ciel meme s´ouvre Au dessus de moi t´es Mon choix je serais toujour fidile Ma dulciner ma belle Que j´aime Oza Yanga Ton amour tandresse bonter du coeur Maman maaa maaan
Dit moi mon amour Natamani ungejua yaliyokuwa moyoni mwangu Au lingekuwa dirisha nilifungue Kichuna changu ungeona jinsi gani nakuzimia
Dit moi mon amour Penzi lako faraja napokuwa na mawazo tele Na unanisahaulisha machugu yangu Na najiona mpya kichuna changu Mwanangu ye ye
Alenda, tala mwana mama Alenda, atabalobi pamba Alenda, soki bomeki nakoki Kosala ni´nmporte qu´oi, qu´oi
Alenda, oh me me mwana ngo eh Alenda, yende motema ya papa Alenda, soki bomeki nakoki Kosala ni´nmporte qu´oi, qu´oi
Mama yeah, no no no no aah Wasikuvute kwa maneno ya kinazi Ukanichukia ukanivua vazi Ata basali nyoso natika yo te
Na penzi nzuri ni la watu wawili Wa tatu tukiongeza atatia shubiri
Atamani tuachane mijusi kafiri Nimetosheka na wewe kichuna changu
Dit moi mon amour Natamani ungejua yaliyokuwa moyoni mwangu Au lingekuwa dirisha nilifungue Kichuna changu ungeona jinsi gani nakuzimia
Dit moi mon amour Penzi lako faraja napokuwa na mawazo tele Na unanisahaulisha machugu yangu Na najiona mpya kichuna changu Mwanangu ye ye
Alenda, tala mwana mama Alenda, atabalobi pamba Alenda, soki bomeki nakoki Kosala ni´nmporte qu´oi, qu´oi
Alenda, oh me me mwana ngo eh Alenda, yende motema ya papa Alenda, soki bomeki nakoki Kosala ni´nmporte qu´oi, qu´oi