Kitu gani kinitenge nawe Yesu Kitu gani kinitoe kwako Je ni dhiki sikuja na kitu duniani Je ni uchi nalizaliwa uchi Je ni njaa wengine wanakufa nayo
Hakuna cha kunitenga nawe
Kitu gani kinitenge nawe Yesu Kitu gani kinitoe kwako Je ni dhiki sikuja na kitu duniani Je ni uchi nalizaliwa uchi Je ni njaa wengine wanakufa nayo Hakuna cha kunitenga nawe
Nishike mkono Mungu wangu Nishike mkono nakukimbilia Usiniache Mungu wee Usiniache nakukimbilia
Nishike mkono Mungu wangu Nishike mkono nakukimbilia Usiniache Mungu wee Usiniache nakukimbilia
Nishike mkono Mungu wangu Nishike mkono nakukimbilia Usiniache Mungu wee Usiniache nakukimbilia