Alipokwisha kunena alimwambia Simoni Toweka mpaka kilindini kashushe nyavu zenyu Yesu lipokwisha kunena alimwambia Simoni Toweka mpaka kilindini kashushe nyavu zenyu
Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu
Lakini kwa neno lako Nashusha nyavu, nashusha nyavu Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Bwana kwa neno lako Nashusha nyavu, nashusha nyavu Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Najua nikiwa nawe, Bwana nitasimama tena Hata nikilemewa, wewe utanishika tena Hata vita inijie, Bwana utanipigania
Watesi wajipange, Bwana utapigana nao
Nimetoa mwenzenu nimetoa Nimetoa na mafuta nikapewa Nikapanda na mbegu nikapanda Nikapanda ila mvua haikunyesha
Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu
Lakini kwa neno lako Nashusha nyavu, nashusha nyavu Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Bwana kwa neno lako Nashusha nyavu, nashusha nyavu Nashusha nyavu, nashusha nyavu