💃🎤 Paroles de chanson Française et Internationnales 🎤💃

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Christina Shusho
Titre : Relax
Eeeh…. Eeeeh…
Kurelax kurelax weeh

Bwana atanibarikiri
Kwa kadri ya utajiri wake

Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika
Atanipa mahitaji yangu
Kwa kadri ya utajiri wake
Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika

Bwana atanibarikiri
Kwa kadri ya utajiri wake
Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika
Atanipa mahitaji yangu
Kwa kadri ya utajiri wake
Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika    .

Nani apinge
Alichosema Mungu

Nani alaani
Alichobariki Mungu
Hakuna awezaye kuzuia
Alichotenda Mungu
Na kama kuna pando, lilopandwa na mwovu
(Nangoa)
Pando la muovu
(Mi nangoa )
Na kama kuna andiko iloandikwa kwa hila
(Nafuta)
Andiko la hila (Mi)
Na kama kuna pando lilopandwa na mwovu
(Nangoa)
Pando la muovu
(Mi nangoa)
Na kama kuna andiko iloandikwa kwa hila
(Nafuta)
Andiko la hila (Mi)

Imeandikwa nitakuwa kuchwa siyo mkia
Wakwanza si wa mwisho  .

Bwana atanibarikiri
Kwa kadri ya utajiri wake
Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika
Atanipa mahitaji yangu
Kwa kadri ya utajiri wake
Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika

Bwana atanibarikiri
Kwa kadri ya utajiri wake
Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika
Atanipa mahitaji yangu

Kwa kadri ya utajiri wake
Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika

Mi na relax, na relax ooh
na relax, na relax, na relax
Mi na relax, na relax ooh
Mwenyewe amesema
Mi na relax (na relax) na relax ooh
Atanipa utajiri wake
Mi na relax (na relax) na relax ooh
Atanalisha kama ndege angani
Mi na relax (na relax) na relax ooh
Atanipamba kama ua kondeni
Mi na relax (na relax) na relax ooh
Yesu akisema atafanya
Mi na relax (na relax) na relax ooh
Neno lake ni amina na kweli

Mi na relax (na relax) na relax ooh

Bwana atanibarikiri
Kwa kadri ya utajiri wake
Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika
Atanipa mahitaji yangu
Kwa kadri ya utajiri wake
Kwa kipimo cha kujaa
Kusukwa sukwa hata kumwagika

Nangoja atimize
Mi na relax, na relax ooh
Nangoja atimize, Mi na relax, na relax ooh
Mi na relax, na relax ooh
Mi na relax, na relax ooh

Eeeh ooh Mi na relax narelax ooh

Atanipa mahitaji yangu, kwa kadiri ya utajiri wake