Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika Atanipa mahitaji yangu Kwa kadri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika
Bwana atanibarikiri Kwa kadri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika Atanipa mahitaji yangu Kwa kadri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika .
Nani apinge Alichosema Mungu
Nani alaani Alichobariki Mungu Hakuna awezaye kuzuia Alichotenda Mungu Na kama kuna pando, lilopandwa na mwovu (Nangoa) Pando la muovu (Mi nangoa ) Na kama kuna andiko iloandikwa kwa hila (Nafuta) Andiko la hila (Mi) Na kama kuna pando lilopandwa na mwovu (Nangoa) Pando la muovu (Mi nangoa) Na kama kuna andiko iloandikwa kwa hila (Nafuta) Andiko la hila (Mi)
Imeandikwa nitakuwa kuchwa siyo mkia Wakwanza si wa mwisho .
Bwana atanibarikiri Kwa kadri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika Atanipa mahitaji yangu Kwa kadri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika
Bwana atanibarikiri Kwa kadri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika Atanipa mahitaji yangu
Kwa kadri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika
Mi na relax, na relax ooh na relax, na relax, na relax Mi na relax, na relax ooh Mwenyewe amesema Mi na relax (na relax) na relax ooh Atanipa utajiri wake Mi na relax (na relax) na relax ooh Atanalisha kama ndege angani Mi na relax (na relax) na relax ooh Atanipamba kama ua kondeni Mi na relax (na relax) na relax ooh Yesu akisema atafanya Mi na relax (na relax) na relax ooh Neno lake ni amina na kweli
Mi na relax (na relax) na relax ooh
Bwana atanibarikiri Kwa kadri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika Atanipa mahitaji yangu Kwa kadri ya utajiri wake Kwa kipimo cha kujaa Kusukwa sukwa hata kumwagika
Nangoja atimize Mi na relax, na relax ooh Nangoja atimize, Mi na relax, na relax ooh Mi na relax, na relax ooh Mi na relax, na relax ooh
Eeeh ooh Mi na relax narelax ooh
Atanipa mahitaji yangu, kwa kadiri ya utajiri wake