Kuna wakati ambao, nilijiona duni sana Kuna wakati ambao, nilijidharau sana Kuna wakati ambao, niliona niko chini sana
Kumbe machoni pa Mungu tofauti sana
Kumbe machoni pa Mungu tofauti sana
Kuna wakati ambao Walo na shida kama wewe watakucheka Kuna wakati ambao Uliodhani ni marafiki watakutoka Kuna wakati ambao Utadhani Mungu wako amekuacha
Kumbe ya Mungu ni mengi, ni Mengi sana Kumbe ya Mungu ni mengi, ni Mengi sana