đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Guardian Angel
Titre : Nibariki
Kuna wakati ambao, nilijiona duni sana
Kuna wakati ambao, nilijidharau sana
Kuna wakati ambao, niliona niko chini sana

Kumbe machoni pa Mungu tofauti sana

Kumbe machoni pa Mungu tofauti sana

Kuna wakati ambao
Walo na shida kama wewe watakucheka
Kuna wakati ambao
Uliodhani ni marafiki watakutoka
Kuna wakati ambao
Utadhani Mungu wako amekuacha

Kumbe ya Mungu ni mengi, ni Mengi sana
Kumbe ya Mungu ni mengi, ni Mengi sana

Nipe kibali nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Mungu wangu nibariki

Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Watakudharau wakikucheki kibandani
Na kumbe yeye amekuchora kiganjani
Kwani maisha yako yako duni namna gani?
Na kumbe yeye amekuseti mpangoni

Anakuja kuja, nenda nami
Mpaka mwisho kileleni
Nibless wike kamili
Maisha yangu kwa milli
Mentally financially
Emotionally physically

Nibless wike kamili
Maisha  yangu kwa milli

Mentally financially
Emotionally physically

Nipe kibali nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Mungu wangu nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Nipe kibali nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Mungu wangu nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie