Tunakuinua juu Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee Tunakuinua juu Yesu wee
Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee Tunakuinua juu Yesu wee
Duniani na mbinguni we ndo bwana wa mabwana Alpha na Omega we ndo mwanzo tena mwisho Ndani ya maisha yangu Bwana we unatawala
Tumakuinua juu Kwa hali ngumu na kwa magonjwa Tunakuinua Baba wewe peke yako Kwa hali ngumu na kwa magonjwa Tunakuinua Baba wewe peke yako
Tunakuinua juu Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee Tunakuinua juu Yesu wee
Tunakuinua juu Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee Tunakuinua juu Yesu wee
Malaika Mbinguni wanakuinamia wewe Yesu Na sisi duniani tunakuinua juu Wewe ni maji ya uzima Unatuliza kiu yangu Yesu
Tena mkate wa uzima unashibisha Haja za moyo wangu Bwana Simba wa kabila la Yudah Unapigana vita vya wana wako eee Daktari wa madaktari Unaponya magonjwa yote bwana oo
Wewe ni maji ya uzima Unatuliza kiu yangu Yesu
Tena mkate wa uzima unashibisha Haja za moyo wangu Bwana Simba wa kabila la Yudah
Tunakuinua juu Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee Tunakuinua juu Yesu wee
Tunakuinua juu Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee Tunakuinua juu Yesu wee