đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Guardian Angel
Titre : Utashangaa
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Zipe majina, zipe majina
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Na utashangaa yale Mungu ametenda

Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa yale Mungu ametenda

Kumbuka ulipokuwa umelazwa
Wakakata tamaa
Wakatuma ujumbe kwa wote
Marafiki jamaa

Wakasema huyo ametuacha
Yamebaki masaa
Ona sasa ulivyo na afya nzuri
Bwana ametenda

Umeiona siku ya leo, Bwana ametenda
Familia uliyo nayo, Bwana amekupa

Hata nguo ulizo nazo, Bwana amekupa
Oooh we utashangaa yale Mungu ametenda

Hesabu baraka zako moja kwa moja
Zipe majina, zipe majina
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Na utashangaa yale Mungu ametenda

Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa yale Mungu ametenda

Yesu ana mikate mitano na samaki wawili
Na kuna watu elfu tano wake pia watoto
Neno lasema alishukuru na vikaongezeka
Watu wakala na vikabaki vinashangaa

Jifunze kumshukuru Bwana
Kwa hicho ulicho nacho
Hata kama ni kidogo sana
We shukuru unacho

Kuna yule anayetamani
Kuwa hapo ulipo
Wewe utashangaa
Yale Mungu ametenda

Hesabu baraka zako moja kwa moja
Zipe majina, zipe majina
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Na utashangaa yale Mungu ametenda

Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa

Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa yale Mungu ametenda