Hesabu baraka zako moja kwa moja Zipe majina, zipe majina Hesabu baraka zako moja kwa moja Na utashangaa yale Mungu ametenda
Na utashangaa, na utashangaa Na utashangaa, wewe utashangaa Na utashangaa, na utashangaa Na utashangaa, wewe utashangaa yale Mungu ametenda
Kumbuka ulipokuwa umelazwa Wakakata tamaa Wakatuma ujumbe kwa wote Marafiki jamaa
Wakasema huyo ametuacha Yamebaki masaa Ona sasa ulivyo na afya nzuri Bwana ametenda
Umeiona siku ya leo, Bwana ametenda Familia uliyo nayo, Bwana amekupa
Hata nguo ulizo nazo, Bwana amekupa Oooh we utashangaa yale Mungu ametenda
Hesabu baraka zako moja kwa moja Zipe majina, zipe majina Hesabu baraka zako moja kwa moja Na utashangaa yale Mungu ametenda
Na utashangaa, na utashangaa Na utashangaa, wewe utashangaa Na utashangaa, na utashangaa Na utashangaa, wewe utashangaa yale Mungu ametenda
Yesu ana mikate mitano na samaki wawili Na kuna watu elfu tano wake pia watoto Neno lasema alishukuru na vikaongezeka Watu wakala na vikabaki vinashangaa
Jifunze kumshukuru Bwana Kwa hicho ulicho nacho Hata kama ni kidogo sana We shukuru unacho
Kuna yule anayetamani Kuwa hapo ulipo Wewe utashangaa Yale Mungu ametenda
Hesabu baraka zako moja kwa moja Zipe majina, zipe majina Hesabu baraka zako moja kwa moja Na utashangaa yale Mungu ametenda
Na utashangaa, na utashangaa Na utashangaa, wewe utashangaa
Na utashangaa, na utashangaa Na utashangaa, wewe utashangaa yale Mungu ametenda