đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Harmonize
Titre : Africa Moja
Tanzania na Congo
Konde Boy na Rice
Mmmh Konde Boy!

Ninatamani siku zirudi nyuma

Na nizuie moyo kukupenda
Binadamu gani huna hata huruma
Kisa sina umeniacha na ukaenda

Kosa la moyo wangu
Kukupenda kwa dhati
Nikataka uwe wangu
Na nikaapa sikuachi

Utu na wema wangu
Eti leo hunitaki
I wapi dhamani yangu
Ama sina dhamani

Chalanga cho, chalanga cho
Nalidusu
Chalanga cho, chalanga cho
Nalidusu

[L Rice]
Chalanga cho, chalanga cho
Nalidusu
Chalanga cho, chalanga cho
Nalidusu

[Harmonize]
Natamani nikuone japo mara moja
Mara moja, mara moja
Kisa umasikini umenikimbia
Umefuata wenye nazo tena bila haya

Africa Moja, Africa moja
Africa Moja, Africa moja

(Oh my God is Better Sound)