đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Harmonize
Titre : X
Nani kasema X wangu ana enjoy?
Nani kasema anapata raha?
Hivi nani kasema X wangu ana enjoy?
Nani kasema anapata raha?
Nikimwona analewa, namuelewa Anajiona kachelewa, age go

Na bado hajapewa
Viuno alivyopewa, Anajiona kachelewa, age go
Ohhh... uuhhh... ohhh!

Nani kasema X wangu ana enjoy?
Nani kasema anapata raha?
Hivi nani kasema X wangu ana enjoy?
Nani kasema anapata raha?
NEVER!

Vanamahako, twende kwalidu kula Nikatamwa, nguyopa chalidu chila
Vanamahako, twende kwalidu kula Nikatamwa, nguyopa chalidu chila

(Mh) Ibiza, Miami, mbali Hajapelekwa hata Zanzibari
Hapo Kizimkazi aka enjoy Low budget Dubai hatoboi

Anasikitisha X, Kama embe la mti wa porini
Anajipitisha X, Amekosa wa kumuweka mjini
Nikimwona analewa, namuelewa Anajiona kachelewa, age go
Na bado hajapewa
Viuno alivyopewa, Anajiona kachelewa, age go

Nani kasema X wangu ana enjoy?
Nani kasema anapata raha?
Hivi nani kasema X wangu ana enjoy?
Nani kasema anapata raha?
NEVER!

Vanamahako, twende kwalidu kula Nikatamwa, nguyopa chalidu chila
Vanamahako, twende kwalidu kula Nikatamwa, nguyopa chalidu chila

Aaahhh... Bomboclaat!
ItÂŽs Konde Boy, call me Number One!
Bakhresa
Ahhhill
Konde Music Worldwide!
Eh! Sikumpenda tu, nilimtukuza
Nikala bata bila kumchunguza (babe)
Mambo madogo akayakuza
Eti kisa upendo akaniburuza