Baby, your eyes on my phone Yaani utadhani body langu sexy, sexy hulioni Yeah Always on my phone, unatazama nani anaye text, text, ´ajabu humuoni You better know
Upendo wangu Umeugeuza fimbo Haya ni mapenzi, sio wimbo Matusi yamekuwa wimbo Hadi na miss kuwa single
Moyo unapenda amani kwanza Kisha vitu vya thamani Why Humalizi ukianza? Ka tuko mahakamani
You better go (You better go) Baby, I´ll let you go (Rumba!) You better go I´ll let you go
You better go (Oh, oh) I´ll let you go (Sijakupenda, unitende) You better go I´ll let you go (Uende na amani, yeah, yeah) You better go (Mmm) I´ll let you go Hadi na miss kuwa single
Yeah Mwenzenu na kichwa cha nyoka Siuwezi mzigo wa mawazo Ninachohofia meno yatanitoka, nguvu za kusukumana sinazo Nani kakuchoma mkuki Mbona damu zinanivujia mimi Na kuku-cheat sikumbuki, baby Utaniamini lini?
Furaha imepotea Kila kitu kwako nakosea Ooh, ooh, ´kujitetea Hadi nishaanza kuzoea
Moyo unapenda amani kwanza Kisha vitu vya thamani Why
Humalizi ukianza? Ka tuko mahakamani
You better go (You better go) Baby, I´ll let you go (Rumba!) You better go I´ll let you go
You better go (Oh, oh) I´ll let you go (Sijakupenda, unitende) You better go I´ll let you go (Uende na amani, yeah, yeah) You better go (Mmm) I´ll let you go
Hadi na miss kuwa single
Oh, oh, mmm Oh, oh, oh It´s Konde Boy call me number one Yay, ih Konde Music Worldwide