Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Khaligraph Jones
Titre : Me Siogopi
Yeah, ahuu
Scorpion, ahuu
Mi siogopi, ahuu
Yeah, yeah

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Leo ni movie mnataka kuona na mi si Tokodi(Mi si Tokodi)
Visanga tutafanya leo lazima tupatiwe notice(Riakakakaka)
Lakini ambia mwenye nyumba nimesema siondoki(Hahahaa)

Cheki vile nimekafunga boss na mi sio chopi(Na mi sio chopi)
Mapesa najua kutafuata sana na mi siokoti(Na mi siokoti)
Makesi si pia natatua sana na mi sio korti(Na mi sio korti)
Na kale kambwenya kangu ka seko sina, na miss hio koti(Na miss hio koti)

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi

Ka ni vitisho tumezoea, me siogopi, me siogopi
Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Ka ni vishasha tumezoea, me siogopi(Rrraah kakakaka)

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Me siogopi, me siogopi, me siogopi(Si me siogopi)
Me siogopi(Na we huogopi?) me siogopi(Ka we huogopi)
Me siogopi(But me siogopi) me siogopi(Rrraah kakakaka)

Nishawachanua mi siogopi
Mi ni kurutu jo mi sio softi
Ka ni kuroga then mi ndio bossi
Ka unaugua then hii ndio hosi
Hii ni beef jo hii sio Sossi
Hii ni hit jo au sio Motif

K.O.B jo leta hio coffin
Nirest in peace jo mi siogopi

Mabuda mnachoma kazi ni ku copy paste
Hawa ma yungin ndo pia nyi mtrend
Mbona msikubali mmechapa
Ni ka mnasaka career zenyu zimeend
Mnazoza kwa mneti mashow mnapiga
Na zinafanyika ka kila weekend
Na ngoma mkitoa the only platform
Mnapata ni Citizen 10 over 10

Mi nipe candle siwezi potea
Ju kitu nafanya ni ngumu kusample(Woo)
Hard kuwa rapper lakini ikibidi
Namada pia beats za dancehall(Rrraaah)
Favourite rapper wako batty boy
Tulimpata akinunua tampoons

Mbogi yangu ya ubakora ni major
Utatupata na akina Kansoul

Acha kiburi punguza kelele
Zako pangÂŽangÂŽa kwa mtaa we ni mwere
Utageuzwa kichungi ukizidi na kwere
Nilianza kuhustle enzi za Nyerere
Legendary kama Luanda Magere
Nina ofisi huko Mwea Tebere
Niko na maratchet wale ukiketi mbaya
Soda yako watakuwekea mchele

Before nianze rap hapa Kenya
Kulikuwa na shortage ya skill
Hakukuwa na talent(Omollo)
Akina Pinye walimada industry
Wakafanya ikuwe barren
Wakasema nisiroge na ngoso

Ati sababu sijatoka Karen
But F*ck you n*gga, guess sai
Nani anapiga mavideo na kina Clarence

HBR nangoja mnipigie simu mniambie pole
Hio top 50 mlitoa
Inaonyesha vizuri hamkufika hata college
Ju ka si Khali ndio number 1
Inaonyesha vile mmedharau jina
Freestyle zangu ndo
Most viewed on your channel
Na bado mnakosa heshima

Aaah, aki ya nani, eyoo Motif imebakia nani
Mbona wathii hawanitakii amani
Hii game me naif*ck ninaimwagia ndani
Nani hapa Kenya ameisukuma
Hii culture ya Hiphop kushinda Omollo?(Iyee)

K.O.B na Khaligraph kwa battle field tunasimama solo

Ahh unarada fiti
Kuna wasanii kadhaa bado wasaliti
Wanasaka kiki, si hawataki kuona sisi tukipaa
Watafurahi tukikaa Kamiti
OG we are brand them amachichi
Ama vipi bado mi nafanya mziki
If it ainÂŽt about the money donÂŽt tryna reach me
Nishamaliza hii kitu inakaa mazishi

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Ka ni vitisho tumezoea, me siogopi, me siogopi
Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Ka ni vishasha tumezoea, me siogopi(Rrraah kakakaka)

Me siogopi, me siogopi, me siogopi, me siogopi
Me siogopi, me siogopi, me siogopi(Si me siogopi)
Me siogopi(Na we huogopi?) me siogopi(Ka we huogopi)
Me siogopi(But me siogopi) me siogopi(Rrraah kakakaka)