Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Martha Mwaipaja
Titre : Muhukumu wa Haki
Parapanda itapigwa, itapigwa
Parapanda itapigwa, itapigwa
Parapanda itasika, itasikika
Parapanda itasika, itasikika

Hapo ndipo mfalme wa haki atakapotawala
Hapo ndipo mfalme wa kweli atakapotawala
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana

Atatawala mwenye dunia
Atatawala mwenye watu wake
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana

Hapo ndipo falme zote za dunia zitanyamaza
Mwenye wa kweli atawala
Atasimamia mahakama zote kwa haki
Atasimamia kesi zote kwa haki
Kila mmoja atalipwa sawa

Dunia yote itatiishwa kwenye uweza wake
Dunia yote itashangaa alivyo wa haki

Mataifa watajua yeye ni mwema

Hapo ndipo wote tutajua kwamba yeye ni Baba
Dunia yote itaelewa ni mhukumu wa haki
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana

Atatawala asiyejua pendelea mwingine
Watu wa leo wanatazama sifa ya mtu

Majira yanakuja ya kujua Baba wa kweli
Majira yanafika watamjua Mungu wetu
Leo hawatambua machozi tunayolia
Leo hata ukilia hakuna wa kutazama

Hata ukiteswa hakuna wa kutazama
Wakati unakuja Baba atatawala kwa haki
Hapo ndipo falme zitajua yeye ni mfalme

Hapo ndipo dunia itaelewa yeye ni Bwana

Tutapanguzwa machozi yetu na sisi
Tutapanguzwa machozi yetu na sisi
Tutaheshimiwa na dunia na sisi
Tutaheshimiwa na watu wote na sisi

Hawawezi tambua haki yako leo hii
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana
Hakuna wa kutetea maisha yako
Maaana tawala za leo wanapendeleana

Anakuja mtawala wa haki kutusaidia
Anakuja mtawala wa haki kutusaidia

Utafurahi na Baba
Tutashangilia kwa Baba
Maana falme wake Baba itakuwa ni yenye haki

Maana falme wake Baba itakuwa ni yenye haki

Baba yetu atawala aah haa

Atatawala haaa (Atatawala Massiah Massiah)
Atatawala haaa (Atatuwala mwenye haki, Massiah)
Atatawala haaa (Atatawala, atatulipa wote)
Atatawala haaa  (Eeh baba, eeh baba)

Atatawala haaa (Atatubembeleza Baba)
Atatawala haaa (Atawala Baba, atatawala Baba)
Atatawala haaa (Atatawala, Massiah wetu)
Atatawala haaa (Atatulipa Yesu, Atatulipa Yesu)

Atatawala haaa (Eeh Baba, eeh Baba atatawala)
Atatawala haaa (Atawala, atatawala, atatawala)
Atatawala haaa (Atatawala kwa haki Baba atatawala)

Atatawala haaa (Ooooh, lalalala ha!)