Accueil  đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Nimo (AF)
Titre : Najua
(Alexis on the beat)

Kuna wakati ulifika
Mbingu ilinyamaza sana kwa maisha yangu
Nikataka kwenda mbali na mbingu

Mambo ya kusifu sikutaka tena

Nikashindwa Mungu wangu yuko wapi?
Tena nikawaza bingu yangu iko wapi?
Nikakumbuka matendo yako uliyoyatenda

Daudi alikuita Baba kakuona
Pia Musa ye alikuona
Kwa maisha yangu pia nitakuona
Ntakuona

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Nakutumainia Bwana aaah aaah
Nakutumainia Bwana oooh

Na nikiwa kwa uwepo wako
Mi najua mimi nitapona tena
Na nikiwa kwa mwanga wako
Mi najua mimi nitaona tena, iyaa ah

We ndo chanzo cha maisha yangu
Uliniumba ili nikusifu
We ndo chanzo cha maisha yangu
Uliniumba ili nikusifu

Daudi alikuita Baba kakuona
Pia Musa ye alikuona
Kwa maisha yangu pia nitakuona
Ntakuona

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena

Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena