Eh eh eeh umenitoa mbali Baba Kufika hapa sio kwa nguvu zangu Mungu wangu sina cha kukupa ila asante (Asante) Hata walio na macho wameona Sitachoka kukushukuru wewe
Asubuhi mchana hata usiku
Siwezi move move, siwezi kumove bila wewe Hata hilo unatambua Siwezi move move, siwezi kumove bila wewe Hata hilo unatambua Basi niongoze niepushe na wabaya Niongoze niepushe na wabaya
Asante, asante Asante, asante
Walisema sitatoboa kwa huu mziki Hata mwaka sitamaliza Walisema hapo mwanzo sitoweza Ewe Allah ukaniwezesha
Mdomo wa mwanadamu sumu, mdomo sumu
Lakini kwako waligonga mwamba Mdomo wa mwanadamu sumu, sumu Ila kwako waligonga mwamba
Siwezi move move, siwezi kumove bila wewe Hata hilo unatambua Siwezi move move, siwezi kumove bila wewe Hata hilo unatambua Basi niongoze niepushe na wabaya Niongoze niepushe na wabaya