đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Nyota Ndogo
Titre : Nakushuku
Eti juzi juzi, ulinambia unakuja
Wala haukufika kwangu
Eti juzi juzi, ulinambia unakuja
Wala haukufika kwangu

Kila nikipiga wewe waja
Wewe waja wala hufiki
Kila nikipiga, we waja we waja
Wewe waja wala hufiki

Juzi nilikuona, Nilikuona
Kwenye Gari lako....mmmhh
Ukageuza kichwa, ukageuza kichwa
Ukanitazama ukaangalia kando

Ile simu, ile simuu
Niliyopiga haukuipokea
Ile simu, ile simuuu
Iliniuma sana aaaaah

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe

Nakushuku wewe

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe

Nimesikia mwanaume akipendwa, hujilegeza
Hutaka bembelezwa, yote nimefanya
Nimesikia mwanaume akipendwa, hujidekeza
hutaka bembelezwa, yote nimefanya

Ila unaniumiza nafsi
Moyo Unalalama aah
Usiku nakuwaza

Ila unaniumiza nafsi
Moyo Unalalama aah

Kwa kuwa nakupenda

Kama kuna mwenzangu
Mwambie namuita,
Aje tuelewane
Sina shida ya we kuwa na wawili

Kama kuna mwenzangu
Mi sina shida aaaah
Muje tuelewane
Kuliko kufichaficha aaah

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe

Baby Nakushuku wewe

Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe