đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Paul Clement
Titre : Amenifanyia Amani
Amenifanyia amani
Amenifanyia amani
Kaondoa huzuni yangu
Kanifanyia amani

Nijapopita kwenye bonde la mauti
Sitaogopa maana wewe uko nami
Gongo lako na fimbo yako
Eh Bwana vyanifariji
Wanifanyia amani
Umesema ya kwamba hutaniacha
Sababu mimi ni mboni ya jicho lako
Bwana wanitazama asubuhi mchana jioni
Eeh Bwana  kweli Mungu wa baraka

Amebadilisha uchungu wangu
Umekua ni furaha yangu
Huyu Yesu amenipa furaha Kanifanyia amani
This Jesus gave me joy
Amebadilisha machozi yangu
Yamekuwa ni furaha yangu
Huyu Yesu amenipa furaha  kanifanyia amani

Furaha unipayo siyo kama ya dunia hii
Amani unipayo siyo kama ya ulimwengu huu
We waniganga moyo nipatapo uchungu
Wanifanyia amani You grant me peace

Amenifanyia furaha He has granted me joy
Kaondoa huzuni yangu
Kanifanyia furaha