đŸ’ƒđŸŽ€ Paroles de chanson Française et Internationnales đŸŽ€đŸ’ƒ

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Paul Clement
Titre : Kiapo
Higher higher high(Mpenzi)
Higher higher high(Nakupenda)
Higher higher high(Kwa moyo wangu)
Higher higher high(Kwa moyo wangu)

Kukupenda we si taabu
Ila bado tuna majaribu
Neno lako kuwa unanipenda
Je litasimama? Halita tikisika

Kwako nina msimamo
Sitasikiliza maneno
Sitabadili mtazamo
Kuwa nakupenda we kwa moyo

Nipende nikupende
Tushikamane majaribu tuyashinde
Tufike kule mbele
Kwenye kilele cha furaha yangu nawe

Nipende nikupende
Tushikamane majaribu tuyashinde
Tufike kule mbele

Kwenye kilele cha furaha yangu nawe

Higher higher high(Mpenzi)
Higher higher high(Nakupenda)
Higher higher high(Kwa moyo wangu)
Higher higher high(Kwa moyo wangu)

Sijabahatisha kukutana nawe
Nina uhakika kuwa ni wewe
Ninajua maneno ni sumu
Ila hata nikisikia hayatanidhuru

Wewe kwangu si barafu wa moyo
Maana muda wowote utayeyuka
Wewe kwangu ndiwe wangu moyo
Ninakupenda wewe kwa moyo

Nipende nikupende

Tushikamane majaribu tuyashinde
Tufike kule mbele
Kwenye kilele cha furaha yangu nawe

Nipende nikupende
Tushikamane majaribu tuyashinde
Tufike kule mbele
Kwenye kilele cha furaha yangu nawe

Nakupenda(Nakupenda)
Wewe mpenzi wangu(Nakupenda)
Hey kwa moyo wangu(Nakupenda)
Hey kwa moyo wangu(Nakupenda)

Hey kwa moyo wangu(Nitakupenda)
Kwa moyo wangu(Nitakupenda)
Kwa moyo wangu oooh ooh
Wote kwa moyo wangu