💃🎤 Paroles de chanson Française et Internationnales 🎤💃

 A   B   C   D   E   F   G   H   I   J   K   L   M   N   O   P   Q   R   S   T   U   V   W   X   Y   Z   0   1   2   3   4   5   6   7   8   9 
Artiste : Paul Clement
Titre : Nikumbushe Wema Wako
Nirahisi kinywa kujawa na lawama tele
Pale mambo yanapoonekana hayaendiii
Ni ajabu sana namna moyo unahangaika kutafuta majibu
Ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka yakwamba japokuwa Mungu anaishi ndani yangu kuna muda nahofu japokua Mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu

Ahh nakumbuka wana wa Israel katika bahari yashamu japo walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi
Kwa nyimbo nyingi waliimba na kumsifu Bwanaa Lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa yalibadilika mambo
Manung´unikoo yalisimama na kusahau muujiza alotenda Bwana Mwanzo aah
Eee Mungu Niisaidieee eee eenhee
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii
Eeeh Ee MUNGU Nisaidiee
Nisaidieee kukumbuka baba yakwamba umenichora kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani eenh na mimi umenionaa oooh ooo

Nikumbushe baba yakwamba ni wewe umeniponya nilipoumwa yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleniii ouoooh ooh
Yakwamba kama ungeniacha hatua moja nisingelifika nilipo ooh eee Babaa umenikunguta mavumbi kunguta mavumbi mimi na kuniheshimisha
Oooooh oooooh

Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu Nisaidie Yesu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozii