Mmmmh Alisemanga dunia ina mapambo yake eeh Ukiacha majumba pesa magari ni wanawake eeh
Nimezunguka aah, nimefika kwake eeh Siwezificha nimeshanasa Kwa pendo lake eeh Halabaani Kakuumba kimwana, mwenye sifa ya upole Ata mama kakusifu sana, kitofauti na wale (wajana) Kule nilizama tafadhali niokoe mamamaa. unipulize nipoe
We ndo my queen baby my only Sitopenda uende mbali one day We ndo my queen baby my only Sitopenda uende mbali one day
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe) We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe) Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe) Eeeh ummmh umh Umenivuta kwa urembo mpaka matendo umenikamata Kisura shepu sio tembo taweka nembo watoto kupata Umenivuta kwa urembo mpaka matendo umenikamata Kisura shepu sio tembo taweka nembo watoto kupata
Koleza motoo tupike tembele Kisamvu cha nazi njegele Sisi kutishe kelele sikwachi iih Linda na shamba wasije ngedele, Kuku niitee kwa muchelee
Mii sipigani na wewe manatii iih Ndio manaa kwako nimezamaa sitaki mii Wanitowee mama maaa Unipulize nipoee
We ndo my queen baby my only Sitopenda uende mbali one day We ndo my queen baby my only Sitopenda uende mbali one day
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe) Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe) We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe) Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe)
Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe) Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe) We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe) Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe) Eeeh ummmh umh jiachie tu nikubebe jiachie tu nikubebe We kama mtoto mii nakubembeleza Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza Ayo Lizer